Watumishi wa MUWASA wakiwa kwenye ziara ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kuweka jiwe la msingi mradi wa kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi na kuwahutubia wananchi wa Nyashimo, Busega mkoani Simiyu tarehe 19 Juni, 2025.
Watumishi wa MUWASA wanaounda Kwaya ya Wizara ya Maji wakiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa MUWASA Injinia Nicas Mugisha kwenye uzinduzi wa Mradi wa Maji Same Mwanga Mkoani Kilimanjaro
Kiongozi wa mbio za Mwenge akikagua Mradi wa Upanuzi wa Mtandao wa Maji katika mitaa 7 ya Manispaa ya Musoma
Kiongozi wa mbio za Mwenge akikagua Mradi wa Upanuzi wa Mtandao wa Maji katika mitaa 7 ya Manispaa ya Musoma